Site hosted by Angelfire.com: Build your free website today!

[Mwanzo]

 

[Stendi Ya Basi - Toma Toma Orchestra]

 

[Wote]

Kila siku mke wangu unarudi saa za usiku

Ufikapo nyumbani macho yau yau

Nimevumilia aa sasa nimechoka

Leo nataka unieleze wapi unakochelewa

(repeat)

 

(Chorus)

 

[Wote]

Nachelewa STENDI ya basi bwana eee

Tabu ya mabasi waijua mume wangu e.....nihurumie bwana

 

[Mmoja]

Mbona wasichana wenzako wote wanawahi nyumbani

Sasa ni kitu gani kinachokufanyisha uchelewe eee

 

[Wote]

Nachelewa STENDI ya basi bwana eee......

 

[Mmoja]

Tabia kama hiyo mimi oo sitoipendelea

Jaribu kuwahi nyumbani eee utunze watoto wetu

 

[Wote]

Nachelewa STENDI ya basi bwana eee

 

[Mmoja]

Mume wangu USINIELEWE vibaya....ni kweli ninayosema

Jaribu kunihurumia mume wangu e

 

[Mmoja]

Mume wangi nakuomba eee ...oo ninasema

Jaribu kunihurumia mume wangu e

 

[Wote]

Nachelewa STENDI ya basi bwana eee

 

[Mmoja]

Nimezipata HABARI zao nasikia mke wangu eee

Ukitoka kazini unaelekea kuzurura mitaani!

 

[Wote]

Nachelewa STENDI ya basi bwana eee..........

[Rudi mwanzo]